IQNA-Qari mashuhuri wa Misri, Daktari Sheikh Ahmad Nu‘aynah, amesema kuwa kazi yake ya udaktari haijawahi kumzuia kujishughulisha na usomaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482081 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/23
TEHRAN (IQNA)-Daktari Ahmed Ahmed Nuaina ni Qarii mashuhuri wa Qur'ani Misri na anatambuliwa kuwa miongoni wasomaji bora wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3471222 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/19